Harare. Wazimbabwe leo wanapiga kura kumchagua Rais na wabunge watakaoliongoza taifa hilo kwa miaka mitano ijayo.
Katika uchaguzi huo, Rais anayemaliza muda wake, Robert Mugabe anatetea kiti chake akichuana na mpinzani wake wa siku nyingi, Waziri Mkuu, Morgan Tsvangirai. Uchaguzi huo unafanyika huku Mugabe ambaye kupitia chama chake cha Zanu-PF akiwa ametawala kwa miaka 33, akipewa nafasi kubwa ya kumshinda Tsvangirai wa chama cha Movement for Democratic Change (MDC).
Mwangalizi Mkuu wa Uchaguzi kupitia Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (Sadc), Bernard Membe alisema ana taarifa kuwa orodha ya majina ya wapiga kura haijawekwa wazi tangu juzi, ikiwa ni siku mbili kabla ya uchaguzi wa leo.
Alisema orodha ya wapiga kura siyo nyaraka za siri hivyo zilipaswa kutolewa mapema ili kila mpigakura aone jina lake.
“Orodha inatakiwa itolewe ili watu waione na kuhakiki majina yao, pia kujua vituo wanavyotakiwa kupigia kura,” Membe alikaririwa na BBC Focus on Africa akisema.
Tayari MDC kimetishia kwenda mahakamani kutokana na ucheleweshaji huo unaoweza kutia doa uchaguzi. Katibu Mkuu wa MDC, Tendai Biti alisema chama hicho kitachukua hatua za kisheria dhidi ya Tume ya Uchaguzi Zimbabwe (Zec) ili kupata uhakika wa orodha hiyo. Uchaguzi wa leo huenda ukamaliza muda wa Serikali ya mseto baina ya Zanu-PF na MDC.
Mugabe ameiongoza Zimbabwe tangu ilipopata uhuru mwaka 1980. Alilazimika kuingia kwenye Serikali ya mseto baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2009 kutokana na shinikizo la Sadc ili kumaliza mzozo wa kisiasa uliokuwapo nchini humo.
Polisi 10,000
Ili kudhibiti usalama katika uchaguzi huo, zaidi ya polisi 10,000 wamesambazwa kwenye vituo mbalimbali vya kupigia kura. Redio ya Serikali ilitangaza jana jijini Harare kuwa polisi zaidi wamepelekwa Jimbo la Midlands wakiwa na silaha kadhaa zikiwamo bunduki na mabomu ya machozi. Pia ulinzi umeimarishwa katika maeneo ya katikati ya Harare, Highfield na Mbare.
Wafuasi wa Tsvangirai wameanza kushangilia katika maeneo ya wilaya mbalimbali hata kabla ya kupiga kura huku wengine wakiimba kwa kukumbuka ghasia za mwaka 2008, zilizosababisha wafuasi zaidi ya 200 wa MDC kuuawa
Pamoja na kura za maoni, ni vigumu kubashiri kama Tsvangirai (61) anayewania urais kwa mara ya tatu atamwangusha Mugabe (89).
Kila upande unajinasibu kupata ushindi na kwa hali ilivyo, ni wazi kuwa yeyote anaweza kuibuka mshindi na kupewa ridhaa ya kuwaongoza Wazimbabwe milioni 13. Waangalizi 500 wa kimataifa na 7,000 wa nchi hiyo, wamesema wana imani kuwa matokeo yatatangazwa ndani ya siku tano au chini ya hapo.
Kasoro zajitokeza
Zaidi ya polisi 63,000 na watumishi wa Serikali waliruhusiwa kupiga kura wiki mbili kabla. Hata hivyo, theluthi walishindwa kutokana na karatasi za kura kutofika vituoni kwa wakati.Pia Idadi iliyotajwa ya watu milioni 6.3 waliojiandikisha kupiga kura, imeanza kupigiwa kelele na MDC ikisema ni ndogo na kwamba inaweza kuwa kubwa zaidi ya hapo.
Wednesday, July 31, 2013
KANUNI ZA BUNGE:PINDA HAKUKOSEA
SIKU moja baada ya Kituo cha Sheria na Haki za
Binadamu (LHRC), kueleza kusudio lao la kumshtaki Waziri Mkuu, Bw. Mizengo Pinda
kwa madai ya kuvunja katiba ya nchi Ibara ya 13 (1), wakati wa kipindi cha
maswali na majibu bungeni mjini Dodoma, Juni 19 mwaka huu, sakata hilo sasa
limezidi kuchukua sura mpya.
Hali hiyo inatokana na Mbunge wa Tabora Mjini, Bw.
Ismail Aden Rage (CCM) kudai kuwa, hakubaliani na hauoni uhalali wowote wa LHRC
kumfikisha mahakamani Bw. Pinda ambaye analindwa na Sheria ya Haki, Kinga na
Madaraka ya Bunge namba tatu ya mwaka 1988 pamoja na Katiba ya nchi Ibara ya
100.
Akizungumza na Majira Dar es
Salaam jana, Bw. Rage alisema Mbunge yeyote hawezi kushtakiwa mahakamani
anapotekeleza wajibu wake ndani ya Bunge hivyo kituo hicho kinapaswa kuwaacha
wabunge na viongozi wa Serikali wafanye kazi zao bila vitisho.
Alisema,
kabla kituo hicho hakijafikia uamuzi huo, kinapaswa kupitia Sheria ya Haki,
Kinga na Madaraka ya Bunge namba tatu pamoja na Katiba ya nchi Ibara ya 100 ili
kujiridhisha kama kuna uhalali wa kumfungulia mashtaka Bw. Pinda.
“Kama
LHRC wamekerwa na matamshi ya Waziri Mkuu aliyoyatoa bungeni mjini Dodoma kwa
niaba ya Serikali, waende kulalamika kwa Spika wa Bunge si kumfungilia mashtaka
kwa kigezo cha kuangalia haki.
“Tusiangalie haki peke yake bila
wajibu, suala hili linakuzwa kwa shinikizo la kisiasa jambo ambalo halipaswi
kushabikiwa hata kidogo, mtu yeyote ambaye atakataa kutii amri halali, polisi
anaruhusiwa kutumia nguvu ya ziada,” alisema.
Bw. Rage
alikwenda mbali zaidi na kuongeza kuwa, yupo tayari kumsaidia Bw. Pinda
akishirikiana na wabunge wenzake wa CCM ambao wanamuunga mkono kwa kuhakikisha
kama Waziri Mkuu atafikishwa mahakamani, watasimamisha wanasheria makini wa
kumtetea na kushinda.
“Kama
leo hii tutaruhusu LHRC imfungulie mashtaka Waziri Mkuu bila sababu za msingi
mbali ya kulinda sheria za nchi, upo uwezekano mkubwa wa wabunge wengine
kufanyiwa kitendo kama hicho...mbunge anapozungumza ndani ya Bunge haruhusiwi
kushtakiwa kwa kauli yake,” alisema Bw. Rage.
Aliongeza kuwa, Jeshi la Polisi nchini
lina kaulimbiu inayosema ‘Utii wa Sheria bila Shuruti’, hivyo watu wote
wanaokataa kutii amri halali wanatambua madhara yanayoweza kutokana na ukiukwaji
huo hivyo alichosema Bw. Pinda ni sahihi.
Akizungumza na waandishi wa habari
juzi, Mkurugenzi wa Uboreshaji na Utetezi kutoka LHRC, Bw. Harold Sungusia,
alisema wanakamilisha taratibu za kufungua mashtaka dhidi ya Bw. Pinda katika
Makahama Kuu.
Alisema
Bw. Pinda amevunja katiba ya nchi kwa kusema kuwa, “Ukifanya fujo na umeambiwa
usifanye hiki na wewe ukaamua kukahidi utapigwa tu, maana hakuna namna
nyingine...ehee wote tukubaliane kuwa nchi inaongozwa kwa misingi ya kisheria
sasa kama weweukijifa nyajeur iutapigwatu.
“Na
miminase mam uwapige tukwasab abu hakunana mnanyin ginemaa natumechoka ”,alise
maBw. PindaambapoB w.Sungus iaaliong eza kuwa ,kau li hiyoni kin yumech aK atiba
, S heriazanchi namising iya HakizaBinad am u.
Bw.
Sungusia aliongeza kuwa, kituo hicho kilitegemea Bw. Pinda angefuta kauli yake
ambayo aliitoa katika Bunge la Bajeti lililoisha hivi karibuni lakini hadi sasa
hajafanya hivyo.
Chanzo ( majira - Eckland Mwaffisi )
Mahakimu wenye shahada waanza kazi rasmi Mahakama za Mwanzo
Mahakama 290 kati ya 300 wenye elimu ya shahada, wamesambazwa katika Mahakama za Mwanzo nchini na wameanza kazi.
Hayo yalielezwa jana na Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Ignas Kitusi, wakati akizungumza na NIPASHE, juu ya uwepo wa sheria ya kuwawezesha Mahakimu hao kufanya kazi katika Mahakama hizo.
Alisema Mahakimu hao waliajiriwa mwanzoni mwa mwaka jana na walipelekwa kwenye mafunzo ya uhakimu kwa wiki moja katika chuo cha Uongozi wa Mahakama (IJA), Lushoto mkoani Tanga.
Alisema baada ya kuhitimu walisambazwa kwenye Mahakama mbalimbali nchini na walikuwa wanajifunza kazi kutokana na kutokuwepo kwa sheria ya kuwaruhusu kufanyakazi kwenye Mahakama hizo.
“Kazi ya uhakimu ni lazima mtu ajifunze, walikwenda kwenye vituo vya kazi kujifunza kazi na mwezi Aprili, mwaka huu, sheria ilipitishwa na kuwawezesha kufanya kazi…kabla ya hapo hawakuwahi kuamua kesi yoyote,” alisema.
Kitusi alisema kati yao 10 walihama na kwenda kwenye maeneo mengine ya utumishi wa umma.
Aidha, NIPASHE ilivyotaka kujua iwapo Mawakili wataanza kufanya kazi katika mahakama hizo, alisema elimu ya Hakimu haibadili hadhi ya Mahakama hivyo mawakili hawatatumika katika mahakama hizo.
Wakati wa kikao cha Bunge, Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe, akiwasilisha Mpango na makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2012/13, alisema mafunzo ya awali (Induction Course) kwa ajili ya Mahakimu Wakazi wapya 290 waliokuwa wameajiriwa kufanya kazi katika Mahakama za Mwanzo sehemu mbalimbali nchini yameshafanyika.
Hayo yalielezwa jana na Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Ignas Kitusi, wakati akizungumza na NIPASHE, juu ya uwepo wa sheria ya kuwawezesha Mahakimu hao kufanya kazi katika Mahakama hizo.
Alisema Mahakimu hao waliajiriwa mwanzoni mwa mwaka jana na walipelekwa kwenye mafunzo ya uhakimu kwa wiki moja katika chuo cha Uongozi wa Mahakama (IJA), Lushoto mkoani Tanga.
Alisema baada ya kuhitimu walisambazwa kwenye Mahakama mbalimbali nchini na walikuwa wanajifunza kazi kutokana na kutokuwepo kwa sheria ya kuwaruhusu kufanyakazi kwenye Mahakama hizo.
“Kazi ya uhakimu ni lazima mtu ajifunze, walikwenda kwenye vituo vya kazi kujifunza kazi na mwezi Aprili, mwaka huu, sheria ilipitishwa na kuwawezesha kufanya kazi…kabla ya hapo hawakuwahi kuamua kesi yoyote,” alisema.
Kitusi alisema kati yao 10 walihama na kwenda kwenye maeneo mengine ya utumishi wa umma.
Aidha, NIPASHE ilivyotaka kujua iwapo Mawakili wataanza kufanya kazi katika mahakama hizo, alisema elimu ya Hakimu haibadili hadhi ya Mahakama hivyo mawakili hawatatumika katika mahakama hizo.
Wakati wa kikao cha Bunge, Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe, akiwasilisha Mpango na makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2012/13, alisema mafunzo ya awali (Induction Course) kwa ajili ya Mahakimu Wakazi wapya 290 waliokuwa wameajiriwa kufanya kazi katika Mahakama za Mwanzo sehemu mbalimbali nchini yameshafanyika.
CHANZO ( NIPASHE - Salome Kitomary )
SERIKALI TATU NI KICHEKESHO - BARONGO
ALIYEKUWA Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma Kapteni mstaafu, John Barongo amesema mapendekezo ya kubadilisha Muungano uwe wa Serikali tatu ni kichekesho hasa kwa kipindi hiki ambapo Afrika inafikiria kuwa na serikali moja.
Kapteni Barongo aliyasema hayo jijini Dar es Salaam jana wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu rasimu ya Katiba Mpya na maoni mbalimbali yanayotolewa kuhusu muundo wa Katiba Mpya.Kapteni Balongo alisema, wazo la kuwepo kwa serikali tatu ni la baadhi ya viongozi wachache wanaotaka madaraka huku wengine wakizungumzia kuundwa kwa Katiba ya Tanganyika ili wapate uongozi badala ya kuzungumzia matatizo ya wananchi.
Pamoja na hilo, Kapteni Balongo alikiri kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar una matatizo na kusema kuwa hizo ni changamoto ambazo zinahitaji ufumbuzi wa pamoja na si kuwa na serikali tatu.Alisema, huko nyuma kuna baadhi ya nchi zilijaribu kuwa na muundo wa serikali tatu na kushindwa kuziendeleza huku akitolea mfano wa nchi ya Egypt na Syria ambazo ziliwahi kuunda Shirikisho la Syria (United Arab Republic) ambapo mwezi Septemba mwaka 1961 Mkuu wa Majeshi wa Syria alijiondoa katika shirikisho hilo na ukawa mwisho wa muungano huo.
"Nchi nyingine ni Mali na Senegal ambapo wao waliunda Mali Federation wakati huo Mali ikiitwa French Sudan, akachaguliwa Modibo Keita akawa Rais wa serikali hizo tatu na matokeo yake Rais wa Senegal wakati huo Leopold Sedar Senghor alijiondoa na ukawa mwisho wa shiririkisho hilo,"alisema Kapteni Barongo
Alisema kuwa, Watanzania wanatakiwa wajifunze kutoka katika nchi hizo kwani kuwepo na serikali hizo ni mzigo kwa wananchi kuhudumia marais wa serikali tatu hasa kwa wakati huu ambapo uchumi wa nchi si mzuri.Alisema kuwa, ni bora nchi ikabaki na serikali mbili kama ilivyo sasa na kisha kutatua mambo yanayokwamisha Muungano kuliko kuruhusu tatu ambazo zinaweza kuongezeka na kuwa nne kutokana na mapendekezo ya watu.
Hata hivyo, alitaka suala la ardhi lisiwe sehemu ya Muungano kwa sababu Wazanzibar wengi wanakuja Tanganyika na kujenga ambapo kwa Watanganyika inakuwa vigumu kupata ardhi Zanzibar.Akizungumzia mchakato wa Katiba mpya alisema, hakuna ulazima wa nchi ikawa na Katiba Mpya ifikapo mwaka 2015 na badala yake yaangaliwe mapungufu yaliyopo katika katiba ya sasa na kufanyiwa marekebisho.
"Mapungufu katika katiba ya sasa yapo ila kinachotakiwa ni kubainisha mapungufu hayo na kuyafanyia kazi na si kuiga nchi za jirani kama Kenya walivyobadili katiba yao, nadhani tungekuwa na katiba nzuri zaidi miaka 10 kutoka sasa,"alisema.
Katika hatua nyingine, Kapteni Barongo amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kusimamia, amani, mshikamano na kupambana na ufisadi wa kila aina,kuwahudumia wananchi katika kupata haki zao na kuwakataa viongozi wanaotumia vitu hivyo kwa masilahi yao.
Alisema kuwa, wananchi wanajua nani anayefaa kuongoza nchi na kwamba Rais wa nchi hii anaweza kutoka chama chochote isipokuwa rais bora anatokea CCM.
Alisema kuwa, viongozi wa CCM lazima wabadilike na kuachana na kuongoza kwa mazoea ikiwa ni pamoja na kufahamu aina ya rais anayetakiwa kusimama mwaka 2015 asiyekuwa wa kununua watu bali wananchi wampende wenyewe.
Chanjo (majira - Rehema Mohamed )
Tuesday, July 30, 2013
Waziri afunga tena machinjio ya Ukonga
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk.Terezya Huvisa, ametangaza kuyafunga machinjio ya Ukonga Mazizini yaliyopo Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam kutokana na kuendesha shughuli zake katika mazingira machafu yanayohatarisha afya za walaji wa nyama.
Dk. Huvisa amechukua hatua hiyo ikiwa ni siku 10 tangu atangaze kuwa ameshindwa kuzichukulia hatua Manispaa za Jiji la Dar es Salaam zilizoshindwa kusimamia usafi katika maeneo yao.
Kauli ya kushindwa kuzichukulia hatua manispaa hizo aliitoa wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam kuhusu kampeni ya usafi wa miji na majiji, kabla ya Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, kuanza ziara hiyo Julai 21 na 22, mwaka huu.
Hii ni mara ya pili kwa machinjio hayo kufungwa na mamlaka za serikali katika kipindi cha mwaka huu, mara ya kwanza Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (Nemc), liliyafunga kwa sababu kama hizo lakini siku nne baadaye yaliendelea na shughuli zake kama kawaida.
Hatua ya machinjio hayo kuruhusiwa kuendelea na uchinjaji siku chache tu baada ya kufungwa na Nemc kulizua maswali mengi kwa wananchi wa kata ya Ukonga ambao walilitupia lawama baraza hilo kwamba huenda baadhi ya maofisa wake walipewa ‘kitu kidogo’ na kulegeza masharti.
Akizungumza na wananchi wa Ukonga jana majira ya saa 3:30 asubuhi baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika machinjio hayo, Waziri Huviza alisema anayafunga kutokana na kuendesha shughuli zake katika mazingira machafu.
Alisema sababu nyingine ni kwamba machinjio hayo ambayo yameanza kuendesha shughuli zake tangu mwaka 1972, katika kipindi chote yamekuwa yakiendesha kazi zake bila kuwa na kibali kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) na Nemc kama sheria zinavyoelekeza. Waziri Huvisa aliwaagiza maofisa wa Nemc, wakiongozwa na Mkurugenzi wa Mazingira wa baraza hilo, Robert Mtakamalenga, kuandika barua haraka ya kusimamisha shughuli za uchinjaji katika machinjio hayo na kuiwasilisha kwa wamiliki wake jana.
Alisema athari ambazo zitakuwa zimepatikana kwa wananchi kutokana na miundombinu mibovu ya mifereji ya kupitishia maji machafu uliopita karibu na makazi ya watu wamiliki wa machinjio hayo watawajibika kulipa gharama kwa waathirika.
Akisoma taarifa kwa niaba ya wananchi wa kata ya Ukonga wanaoathirika kutokana na uchafu wa machinjio hayo, Bennett Bagonza, alisema hawana imani Nemc na Manispaa ya Ilala ambayo viongozi wake kila wanapoelezwa suala la uchafu katika machinjio hayo wamekuwa wakipuzia.
CHANZO ( NIPASHE - Thobias Mwanakatwe )
LHRC wapanga kumshtaki Pinda
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), wiki hii kinatarajia kumburuza mahakamani, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kumtaka afute kauli yake aliyoitoa bungeni mwezi uliopita kwamba Polisi wawapige raia wanaoleta uchokozi na kuashiria uvunjifu wa amani hapa nchini.
Mwezi uliopita Pinda katika mkutano wa Bunge la bajeti mjini Dodoma alitoa kauli ya kulitaka jeshi la Polisi nchini kuwapiga raia wanaokaidi amri halali ya jeshi hilo wakati aikijibu maswali ya Papo kwa papo kwa Waziri Mkuu.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Maboresho na Utetezi wa LHRC, Harold Sungusia, alisema taratibu zote za kisheria za kumfikisha Pinda mahakamani zimekamilika na siku yoyote wiki hii watafungua kesi.
Sungusia alisema kauli ya Pinda, imevunja katiba ibara ya 13 na kwamba lazima sheria ichukue mkondo wake kwa mkumfikisha mbele ya mahakama.
Alifafanua kuwa ibara ya 100 inayompa kinga mbunge anapotoa jambo lolote bungeni inamweka kando Pinda, kwa kuwa yeye hakuzungumza bungeni kama mbunge bali alikuwa anatoa msimamo wa serikali yake.
Alisema kauli ya Pinda ilikuwa kali na mbaya na kwamba, walimtaka Pinda aifute siku chache baada ya kuitoa, lakini mpaka sasa amekaidi na hivyo wameamua kuchukua hatua ya kumfikisha mahakamani ili haki iweze kutendeka.
Pinda alitoa kauli hiyo nzito alipokuwa akijibu swali la mbunge wa Kilwa Kaskazini (CCM), Murtaza Mangungu aliyetaka kujua kauli ya serikali juu ya vyombo vya dola kudaiwa kuwapiga raia hususani katika mikoa ya Mtwara na Arusha.
Akijibu swali hilo Pinda alisema “Mheshimiwa Mangungu hapa ameanza vizuri, lakini mwisho hapa naona anasema vyombo vya dola vinapiga watu, ukifanya fujo au umeambiwa usifanye hiki ukaamua kukaidi utapigwa tu.”
Akaendelea kusema kuwa, “Lazima wote tukubaliane kuwa nchi hii tunaiendesha kwa misingi ya sheria na kama wewe umekaidi, unaona kwamba ni imara zaidi, wewe ndio jeuri zaidi, watakupiga tu,"
Mwezi uliopita Pinda katika mkutano wa Bunge la bajeti mjini Dodoma alitoa kauli ya kulitaka jeshi la Polisi nchini kuwapiga raia wanaokaidi amri halali ya jeshi hilo wakati aikijibu maswali ya Papo kwa papo kwa Waziri Mkuu.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Maboresho na Utetezi wa LHRC, Harold Sungusia, alisema taratibu zote za kisheria za kumfikisha Pinda mahakamani zimekamilika na siku yoyote wiki hii watafungua kesi.
Sungusia alisema kauli ya Pinda, imevunja katiba ibara ya 13 na kwamba lazima sheria ichukue mkondo wake kwa mkumfikisha mbele ya mahakama.
Alifafanua kuwa ibara ya 100 inayompa kinga mbunge anapotoa jambo lolote bungeni inamweka kando Pinda, kwa kuwa yeye hakuzungumza bungeni kama mbunge bali alikuwa anatoa msimamo wa serikali yake.
Alisema kauli ya Pinda ilikuwa kali na mbaya na kwamba, walimtaka Pinda aifute siku chache baada ya kuitoa, lakini mpaka sasa amekaidi na hivyo wameamua kuchukua hatua ya kumfikisha mahakamani ili haki iweze kutendeka.
Pinda alitoa kauli hiyo nzito alipokuwa akijibu swali la mbunge wa Kilwa Kaskazini (CCM), Murtaza Mangungu aliyetaka kujua kauli ya serikali juu ya vyombo vya dola kudaiwa kuwapiga raia hususani katika mikoa ya Mtwara na Arusha.
Akijibu swali hilo Pinda alisema “Mheshimiwa Mangungu hapa ameanza vizuri, lakini mwisho hapa naona anasema vyombo vya dola vinapiga watu, ukifanya fujo au umeambiwa usifanye hiki ukaamua kukaidi utapigwa tu.”
Akaendelea kusema kuwa, “Lazima wote tukubaliane kuwa nchi hii tunaiendesha kwa misingi ya sheria na kama wewe umekaidi, unaona kwamba ni imara zaidi, wewe ndio jeuri zaidi, watakupiga tu,"
“Na mimi nasema wanaokaidi amri halali ya Jeshi la Polisi muwapige tu, kwa sababu hakuna namna nyingine ya kupambana na wakaidi zaidi ya kuwapiga,” alisema Pinda.
CHANZO ( NIPASHE - Richard Makore )
Askari polisi majangili
Wimbila kuendelea kuuawa kwa tembo na wanyama pori wengine limeendelea kushamiri nchini huku likihusisha askari wa majeshi mbalimbali; na juzi askari wawili wa Jeshi la Polisi walikamatwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh. 850,500,000.
Askari waliokamatwa ni Koplo Senga Idd Nyembo na PC Issa Mtama, wote wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Askari hao ni miongoni mwa watuhumiwa tisa waliokamatwa na meno 70 ya tembo ambayo yanaonyesha kwamba wameua tembo 35.
Akizungumza na NIPASHE kwa njia ya simu jana, Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Pwani, Ulrich Matei, alisema watuhumiwa hao walikamatwa juzi Jumapili majira ya saa 4:30 usiku katika kizuizi cha Kauzeni, kilichopo Kata ya Visimbulu, Tarafa ya Chole, wilayani Kisarawe.
Alisema watu hao walikamatwa wakiwa na gari aina ya Toyota Surf yenye namba za usajili T 357 ABK, kwa ushirikiano wa Polisi pamoja na askari wa Maliasili baada ya kulitilia shaka.
Alisema wakati wa ukaguzi kwenye kizuizi hicho, ilibainika kwamba kulikuwa na meno 70 ya tembo yenye thamani ya Sh. milioni 850.
Aliwataja watuhumiwa wengine waliokamatwa na makazi yao kwenye mabano kuwa ni Hamidu Hamad (Tandika/Yombo), Mussa Mohamed Ali (Kinondoni Studio), Prosper Maleto (Tandika Khewa), Amiri Bakari (Mbagala Charambe), Seif Kadro Mdumuka (Vikumbulu-Kisarawe) na Ramadhani Athumani (Chanika).
“Waliokamatwa miongoni mwao wapo askari wa jeshi la Polisi, nimeagiza gari iwafuate ili tuweze kuendelea na uchunguzi zaidi.
Wamekamatwa na meno ya tembo yenye thamani kubwa na inaonekana wameua tembo wengi takribani 35 hivi,” alisema Kamanda Matei. Alisema meno hayo yana uzito wa kilo 305.
Hili ni tukio la pili la ujangili linaloripotiwa katika kipindi kisichozidi wiki moja. Jumanne wiki iliyopita, askari magereza watatu wa Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, walikamatwa na twiga wawili, pundamilia wawili, swala palapala majike wawili na mbuni wawili wenye thamani ya Sh. 55,543,686.20.
Kamanda wa Kikosi cha Kuzuia Ujangili Kanda ya Kati, Paschal Mrina, alisema watuhumiwa hao walikamatwa majira ya saa 6 mchana, wakiwa na gari la magereza aina ya Toyota Land Cruiser, lenye namba za usajili STK 4394.
Mrina aliwataja waliokamatwa kuwa ni Mrakibu wa Magereza ASP Kimaro Joseph Sauli, WDR Richard Barick Peter na Koplo Silvester Dionis Bukha.
Katika tukio hilo, watuhumiwa wengine ambao ni raia walikuwa ni Abubakari Ngaula, Hamza Mdachi, Saidi Saidi Iddi na Hosseni Gola wote wanadhaniwa kuwa wakazi wa Kiteto ambao alisema walikutwa na bunduki aina ya SAR ya magereza na rifle moja.
Watuhumiwa wote walikuwa na kibali kilichoombwa na Hassani Omari kilichowaruhusu kuua nyati mmoja na pundamilia wawili, lakini walipofika walikiuka sheria na kuua wanyama ambao hawakuwa wamewaombea na pia hawaruhusiwi kuuawa kama vile twiga na swala palapala majike.
Januari 20, mwaka huu, askari wa Jeshi la Wananchi la Tanzania (JWTZ), Sajenti, Azizi Athumani Yusufu, alikamatwa akiwa na meno ya tembo, eneo la Kibaoni Wilaya ya Karatu mkoani Arusha.
Mtuhumiwa huyo alikuwa dereva wa mkufunzi wa kijeshi kutoka Zimbabwe anayefundisha hapa nchini.
Katika tukio hilo, askari huyo alikutwa na pembe mbili za ndovu na bunduki moja aina ya rifle yenye namba 458.
CHANZO(NIPASHE - Restuta James )
WACHAFUA MAZINGIRA KUTOZWA FAINI 50,000/-
KAMP
UNIzausafiManispaaya Ilalazime kab idhiw a jukumu lakukamataw ana nchiwanaoc
hafuamazingir anakuw atozafaini ya papokw apa poya sh. 50,000 ili kukomes hatab
iahiy o.ukumul akuzi ka bidhi kampunihizokusimamia s
ualalausafilinatokan a na wa nanch i w engikuwa na elimu ndogo yausafinamazin
gira.
Akito atamko k wawaandishi wahabari Dar esS alaamjan a wakatiKi kundichaVijana
waKani sa laUni versal wak ifanyau safi eneolaufu k we,MkuuwaIdaray aUsafis
hajiIlala, Samweli Bub egwa , a lisemaman ispaaimefikiahatua hiyoy aku zikabidhi
ka mpunizausafij ukum uh ilokutokananawananc hi kushindwakuzing atiakanuni zausa
fi.“Tumew apajuk umuhi lila kuw akam atawachafuzi wa maz
ingira siokwakam puni hizozatakapekeyakehatawewe aumimi unaruhusiwakumk ama ta
mtuana yechafua mazingira ambapou kimfi kishakat ikaofisi yoyote y aOfisaMten
dajiwa KataauHalmash auri atato zwaf ainiyash, 50,000 yapapokwapapo, ”alise ma
na ku ongeza k uwaanay eka ma tamtuhuyoanapewash. 20 ,000nash.30 ,000
inaingiaman ispaa,”a lisema.
Bubeg waalisema sheriahiyo kwa Ila la imesh aanzaku tum
ikakwabaadhi yakata zakatika tiyamji na b aadayezitafikia kata za pembezoni kwa
lengo la kuweka mji wao katika hali ya usafi.
A
l i s e m a m a n i s p a a h i y o wameshazindua kampeni endelevu ya usafi na
ili mji huo uweze kuwa msafi zaidi kazi ya kukamata wachafuzi wa mazingira ni ya
wadau wote.Aliwataka wananchi washirikiane na halmashauri hiyo ili mji
huo uweze kuwa kivutio kama ilivyo kwa miji mingine inayoongoza kwa usafi
nchini.
Pia aliwataka wananchi kujenga tabia ya kuchukia uchafu na
kuzingatia usafi wa mazingira wanayoishi, kwani uchafuzi wa mazingira
unasababisha mlipuko wa magonjwa mbalimbali
Chanzo ( Majira - Heri Shaaban)
Sunday, July 28, 2013
Rasimu ya Katiba mpya na uhuru wa mahakama
NILIWAHI kuandika kwamba rasimu ya Katiba mpya ni kubwa na inahitaji kupitiwa taratibu ili kuielewa vema. Nilipanga kuijadili sehemu kwa sehemu katika makala hizi lakini kwa sababu ya matukio mbalimbali niliweka kando kidogo kazi hiyo na kuyajadili yale ambayo niliona yalikuwa na haraka na umuhimu kwa wakati husika.
Leo nataka kuiangalia sehemu ya kumi ya rasimu ya Katiba yetu ambayo inahusika na Mahakama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Lengo langu ni kuangalia upungufu wa eneo hili katika rasimu yetu ili kuipa maboresho zaidi kwa mustakabali wa mhimili huu adhimu kwa haki za Watanzania.
Jambo kubwa na la haraka ninaliona katika sehemu hii ya rasimu ya Katiba inayozungumzia Mahakama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni madaraka makubwa ya rais katika mhimili huu. Kilio hiki si kigeni. Ni kilio kilichopo hata katika Katiba inayotumika sasa.
Ukiitazama kwa ujumla rasimu hii unaweza kusema kama Katiba mpya itapita bila mabadiliko katika sehemu hii, Mahakama inaweza kujikuta katika kwapa la Serikali. Ni kama imebinywa zaidi kuliko ilivyo kwa Bunge. Ukisoma sura hii ya kumi ya rasimu ya Katiba unaweza kupata picha kwamba mhimili huu wa dola ni dhaifu kuliko mihimili ile mingine miwili ya dola.
Kwanza kazi ya kumteua jaji mkuu chini ya Ibara ya 151 ya rasimu hii ya Katiba inafanywa na rais kisha kuthibitishwa na Bunge. Hapa kuna maswali mengi ambayo yanatufanya tuone kama uhuru wa Mahakama unaweza kuwa shakani. Jambo la kwanza rais ambaye anatokana na chama anafungwa na chama chake.
Hivyo kama itatokea rais akawa hana msimamo thabiti wa kizalendo, tunaweza kujikuta tukimpata jaji mkuu aliyeteuliwa si kwa kigezo cha uwezo wake bali mahaba yake kwa chama kinachotawala. Ni kweli kwamba rais anafanya uteuzi huo kutokana na majina yanayopendekezwa kwake na Tume ya Utumishi wa Mahakama. Lakini hapa napo ni kama mazingaombwe.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba Tume hiyo ya Utumishi wa Mahakama nayo inateuliwa na rais chini ya ibara ya 172. Hivyo ni kusema kwamba rais anateua jina la jaji mkuu kutokana na majina aliyopewa na watu aliowateua.
Madaraka ya rais ni makubwa mno kwa maana kwamba ikiwa ana uwezo wa kuteua tume ya kuchagua majina atakayotumia kuteua Jaji Mkuu, basi ina maana kwamba rais ana uwezo wa kushawishi upatikanaji wa jaji mkuu. Hili si jambo lenye afya.
Lakini pia ukitazama ibara hii ya 151 utaona pia kwamba baada ya uteuzi wa rais, Bunge linatakiwa kumthibitisha jaji mkuu. Hapa ndipo linapokuja swali, hivi mhimili wa Mahakama ni mdogo kuliko ule wa Bunge? Kwa nini mkuu wa mhimili mmoja athibitishwe na wajumbe wa mhimili mwingine?
Wapo watakaorukia kusema hizo ni njia za kudhibiti madaraka yasitumiwe vibaya. (Checks and balances). Ikiwa hivyo ndivyo kwa nini wabunge nao wasithibitishwe na mahakama baada ya kuchaguliwa? Au walau wale wa kuteuliwa na rais kwa nini wasithibitishwe na Mahakama katika uteuzi wao? Au baada ya waziri mkuu kuteuliwa kwa nini asithibitishwe pia na Mahakama?
Swali la msingi hapa ni ikiwa itatokea Bunge linalomuidhinisha jaji mkuu lina wingi wa wabunge kutoka chama kimoja, je, uhuru wa jaji huyu hauwezi kuyumbishwa na wanasiasa? Na hapa tatizo liko zaidi katika mchakato mzima, kwamba huenda tukamkosa jaji anayefaa kwa sababu ya itikadi za kisiasa.
Kwa maana kwamba kama kuna jaji ambaye wabunge wa chama chenye wingi bungeni wanadhani hafai kwa maslahi ya chama chao wanaweza kumkataa bila kujali vigezo vya ubora wake. Lakini hata baada ya uchaguzi unaweza kumpata jaji mkuu anayedhani ana wajibu wa kurudisha fadhila kwa waliomuidhinisha.
Hata kama jaji huyo mkuu hatakuwa na upendeleo lakini akafika kutoa maamuzi yanayoonekana kukibeba chama kitakachokuwa madarakani, ile kauli maarufu ya kwamba si tu haki itendeke bali ionekane inatendeka, itakuwa imepigwa ngwara. Huu ni udhaifu wa kufanyia kazi katika rasimu hii.
Pengine mapendekezo ya kurekebisha hali hii ingekuwa kwanza kumuondoa rais kuwa mteuzi wa jaji mkuu. Badala yake Tume ya Utumishi ya Mahakama ambayo nayo uteuzi wake unapaswa kubadilishwa, iwe na jukumu hilo. Pengine ili tumpate jaji mkuu bora ni vizuri nafasi hiyo inapokuwa wazi ikatangazwa na wale wote wenye sifa na vigezo wakaomba kazi hiyo.
Mchakato uwe wa uwazi na waombaji wafanyiwe usahili na jopo la wataalamu. Pia isiwe kuthibitishwa na Bunge bali yeyote mwenye sababu za msingi za kumpinga mtu kupewa wadhifa huo aruhuhsiwe kuziweka sababu zake hadharani na Tume ya Utumishi wa Mahakama ikizipima kwa vigezo vitakavyowekwa iwe na uwezo wa kukubali au kumuondoa mtu kuwania nafasi hiyo. Huu pia ungekuwa utaratibu mwafaka kwa uteuzi wa majaji wote wa Mahakama za Rufani na Mahakama ya Juu.
Mamlaka yaliyopitiliza ya rais katika uteuzi wa majaji pia unaonekana katika Ibara ya 153 (3) ya rasimu hii ya Katiba. Katika Ibara hii rais anapewa mamlaka ya kutengua sifa ya muda anaotakiwa mteule kuwa na sifa husika na kisha kumpa ujaji mhusika.
Hapa rais anapewa rungu la kutengua sifa za mtu kuwa jaji, na mtu huyo kuteuliwa kuwa jaji hata kama hana sifa stahili kwa kipindi kilichotajwa kikatiba. Haya ni mamlaka makubwa mno. Ibara hii inasema kwamba kwa kushauriana na Tume ya Utumishi ya Mahakama.
Angalia neno lililotumika ni “kushauriana”. Katika kushauriana si lazima wakubaliane. Inatosha tu yeye kuwaambia wajumbe wa tume kwamba yeye anataka kuteua jaji ambaye hana sifa zinazostahili kwa muda husika, na ikiwa tume itakubali au itakataa, rais bado anakuwa na uwezo wa kuendelea na uteuzi wake.
Tofauti hii ya uchaguzi wa maneno inaonekana tena katika Ibara ya 166(3) ambayo inampa rais uwezo wa kuteua kaimu jaji wa Mahakama ya Rufaa ikiwa “ataridhika” na ushauri wa jaji mkuu. Hapa bado nguvu iko kwa rais kuridhika na ushauri wa Jaji Mkuu. Na haielezwi ni mambo gani yatakayomfanya aridhike au asiridhike.
Je, pendekezo la jaji ambaye ameangusha serikali katika hukumu zake unaweza kumfanya rais asiridhike na ushari wa jaji mkuu? Ni madaraka mapana sana hayo na hayajawekewa vizingiti. Matashi na akili binafsi ya rais (yakiwa mazuri) ndiyo salama yetu kama ibara hii itabaki ilivyo.
Mambo mengine yanayonifanya nione kwamba rais bado anakuwa na mamlaka makubwa mno katika mhimili huu wa mahakama ni ukweli kwamba katika rasimu hii ya Katiba, rais ndiye mwenye mamlaka ya kuteua si tu Tume ya Utumishi ya Mahakama bali pia kuteua Msajili wa Mahakama na Mtendaji Mkuu wa Mahakama. Kwa kutazama hayo machache ninapata shaka kama uhuru wa mahakama utakuwa vile ambavyo wengi tungependa.
Chanzo cha Habari ( Tanzania Daina na Juvenalis Ngowi )
Tuesday, July 23, 2013
The statements below are taken from actual insurance accident claims forms. They are real, true
•The pedestrian ran for the pavement, but I got him.
•The guy was all over the road. I had to swerve a number of times before I hit him.
•I was sure the old fellow would never make it to the other side of the road when I struck him.
•To avoid hitting the bumper of the car in front I struck a pedestrian.
•The pedestrian had no idea which way to run as I ran over him.
•The car in front hit the pedestrian but he got up so I hit him again.
•I saw a slow moving, sad faced old gentleman as he bounced off the roof of my car.
•A pedestrian hit me and went under my car.
•I saw her look at me twice. She appeared to be making slow progress when we met on impact.
•The pedestrian ran for the pavement, but I got him.
•The guy was all over the road. I had to swerve a number of times before I hit him.
•I was sure the old fellow would never make it to the other side of the road when I struck him.
•To avoid hitting the bumper of the car in front I struck a pedestrian.
•The pedestrian had no idea which way to run as I ran over him.
•The car in front hit the pedestrian but he got up so I hit him again.
•I saw a slow moving, sad faced old gentleman as he bounced off the roof of my car.
•A pedestrian hit me and went under my car.
•I saw her look at me twice. She appeared to be making slow progress when we met on impact.
These are 30 things people actually said in court, word for word.
Q: What is your date of birth?
A: July fifteenth.
Q: What year?
A: Every year.
Q: What gear were you in at the moment of the impact?
A: Gucci sweats and Reeboks.
Q: This myasthenia gravis, does it affect your memory at all?
A: Yes.
Q: And in what ways does it affect your memory?
A: I forget.
Q: You forget. Can you give us an example of something that you've forgotten?
Q: How old is your son, the one living with you.
A: Thirty-eight or thirty-five, I can't remember which.
Q: How long has he lived with you?
A: Forty-five years.
Q: What was the first thing your husband said to you when he woke that morning?
A: He said, "Where am I, Cathy?"
Q: And why did that upset you?
A: My name is Susan.
Q: And where was the location of the accident?
A: Approximately milepost 499.
Q: And where is milepost 499?
A: Probably between milepost 498 and 500.
Q: Sir, what is your IQ?
A: Well, I can see pretty well, I think.
Q: Did you blow your horn or anything?
A: After the accident?
Q: Before the accident.
A: Sure, I played for ten years. I even went to school for it.
Q: Do you know if your daughter has ever been involved in voodoo or the occult?
A: We both do.
Q: Voodoo?
A: We do.
Q: You do?
A: Yes, voodoo.
Q: Trooper, when you stopped the defendant, were your red and blue lights flashing?
A: Yes.
Q: Did the defendant say anything when she got out of her car?
A: Yes, sir.
Q: What did she say?
A: What disco am I at?
Q: Now doctor, isn't it true that when a person dies in his sleep, he doesn't know about it until the next morning?
Q: The youngest son, the twenty-year old, how old is he?
Q: Were you present when your picture was taken?
Q: Was it you or your younger brother who was killed in the war?
Q: Did he kill you?
Q: How far apart were the vehicles at the time of the collision?
Q: You were there until the time you left, is that true?
Q: How many times have you committed suicide?
Q: So the date of conception (of the baby) was August 8th?
A: Yes.
Q: And what were you doing at that time?v
Q: She had three children, right?
A: Yes.
Q: How many were boys?
A: None.
Q: Were there any girls?
Q: You say the stairs went down to the basement?
A: Yes.
Q: And these stairs, did they go up also?
Q: Mr. Slatery, you went on a rather elaborate honeymoon, didn't you?
A: I went to Europe, Sir.
Q: And you took your new wife?
Q: How was your first marriage terminated?
A: By death.
Q: And by whose death was it terminated?
Q: Can you describe the individual?
A: He was about medium height and had a beard.
Q: Was this a male, or a female?
Q: Is your appearance here this morning pursuant to a deposition notice which I sent to your attorney?
A: No, this is how I dress when I go to work.
Q: Doctor, how many autopsies have you performed on dead people?
A: All my autopsies are performed on dead people.
Q: All your responses must be oral, OK? What school did you go to?
A: Oral.
Q: Do you recall the time that you examined the body?
A: The autopsy started around 8:30 p.m.
Q: And Mr. Dennington was dead at the time?
A: No, he was sitting on the table wondering why I was doing an autopsy.
Q: Are you qualified to give a urine sample?
Q: Doctor, before you performed the autopsy, did you check for a pulse?
A: No.
Q. Did you check for blood pressure?
A: No.
Q: Did you check for breathing?
A: No.
Q: So, then it is possible that the patient was alive when you began the autopsy?
A: No.
Q: How can you be so sure, Doctor?
A: Because his brain was sitting on my desk in a jar.
Q: But could the patient have still been alive nevertheless?
A: It is possible that he could have been alive and practicing law somewhere.
Shortest Judgment Ever
Tucked inside the second volume of Vern., at page 638, and also at 23 English Reports 1018, is the world's shortest judgment all time - nine words! Dated 1708, the case does not offer the judge's name but we do know it was the High Court of Chancery because that's all Thomas Vernon, Esquire, covered in his law report. But the case does answer, succinctly, that conundrum which has bedazzled lawyers since Hammurabi: in a devise of household goods, are the dishes included?
This is Lillicott v Compton, verbatim:
"Plate shall pass by a devise of household goods."
Have a look at this list of the Dumbest laws in the UK:
Most ridiculous British laws:
1. It is illegal to die in the Houses of Parliament (27%)
2. It is an act of treason to place a postage stamp bearing the British monarch upside-down
3. In Liverpool, it is illegal for a woman to be topless except as a clerk in a tropical fish store
4. Mince pies cannot be eaten on Christmas Day
5. In Scotland, if someone knocks on your door and requires the use of your toilet, you must let them enter
6. In the UK a pregnant woman can legally relieve herself anywhere she wants, including in a policeman's helmet
7. The head of any dead whale found on the British coast automatically becomes the property of the King, and the tail of the Queen
8. It is illegal not to tell the tax man anything you do not want him to know, but legal not to tell him information you do not mind him knowing
9. It is illegal to enter the Houses of Parliament in a suit of armour
10. In the city of York it is legal to murder a Scotsman within the ancient city walls, but only if he is carrying a bow and arrow
Most ridiculous foreign laws:
1. In Ohio, it is illegal to get a fish drunk
2. In Indonesia, the penalty for masturbation is decapitation
3. In Bahrain, a male doctor can only examine the genitals of a woman in the reflection of a mirror
4. In Switzerland, a man may not relieve himself standing up after 10pm
5. In Alabama, it is illegal to be blindfolded while driving a vehicle
6. In Florida, unmarried women who parachute on a Sunday could be jailed
7. In Vermont, women must obtain written permission from their husbands to wear false teeth
8. In Milan, it is a legal requirement to smile at all times, except funerals or hospital visits
9. In Japan, there is no age of consent
10. In France, it is illegal to name a pig Napoleon
Mahakama maalum zitapunguza mlundikano wa wafungwa
Mahakama maalum zitapunguza mlundikano wa wafungwa
Shirika lisilo la Kiserikali linalojishughulisha na mazingira, haki za binadamu na jinsia (Envirocare).
Uanzishwaji wa Mahakama maalumu (zinazohamishika) na watoa msaada wa kisheria katika maeneo ya magereza, kutapunguza mlundikano wa wafungwa.
Ripoti ya hali ya mahabusu za watoto na watu wazima kwenye mikoa mitano ya Tanzania, inaeleza hayo katika utafiti uliofanywa na Shirika lisilo la Kiserikali linalojishughulisha na mazingira, haki za binadamu na jinsia (Envirocare).
Mkurugenzi wa Envirocare, Loyce Lema, alisema ripoti hiyo imependekeza Mahakama zinazohamishika, kutokana na mlundikano wa mahabusi, wengi wakiwa wana kesi ndogondogo.
“Katika magereza 16 na mahabusi za watoto nne, tumegundua wengi wako huko kwa kuwa hawana uelewa wa sheria, wana kesi ndogo ndogo hawastahili kuwapo humo,” alisema.
Mratibu wa mradi huo, ambaye pia ni Naibu Mkurugenzi wa Envirocare, Catherine Jerome, alisema ulianza Septemba, mwaka jana, walitembelea magereza katika mikoa ya Arusha, Dar es Salaam, Morogoro, Tanga na Kilimanjaro.
Alisema lengo la mradi ni kuishauri serikali namna bora ya kupunguza mlundikano wa mahabusi mojawapo ikiwa ni kuwa na wasaidizi wa masuala ya kisheria watakaowaelekeza mahabusi jinsi ya kupata dhamana na haki nyinginezo.
Jerome alisema wametoa mafunzo kwa wasaidizi wa kisheria 88, wawili wenye cheti cha sheria kutoka miongoni mwa maafisa wa gereza na wawili kutoka kwenye jamii jirani na gereza.
Mwasilishaji wa ripoti hiyo kwa wanasheria, watendaji wa Jeshi la Polisi na Magereza katika mkutano wa pamoja kuijadili uliofanyika jijini Dar es Salaam, ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Issai Seng’enge, alisema mahabusi 2,896 walihojiwa.
Alisema katika magereza saba kuna wafungwa na mahabusi wengi kuliko uwezo wa mahakama na wengi hawana uelewa wa masuala ya sheria kwani asilimia 69.42 wana elimu ya msingi na asilimia 84.37 wanatoka kwenye familia za kipato cha chini.
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Kennedy Gastorn, alisema kwa Tanzania Bara kuna magereza 122 zenye uwezo wa kubeba watu 29,400, lakini waliopo ni 32,000 na asilimia 51 ni wanasubiri hatima ya kesi zao.
CHANZO: NIPASHE
Shirika lisilo la Kiserikali linalojishughulisha na mazingira, haki za binadamu na jinsia (Envirocare).
Uanzishwaji wa Mahakama maalumu (zinazohamishika) na watoa msaada wa kisheria katika maeneo ya magereza, kutapunguza mlundikano wa wafungwa.
Ripoti ya hali ya mahabusu za watoto na watu wazima kwenye mikoa mitano ya Tanzania, inaeleza hayo katika utafiti uliofanywa na Shirika lisilo la Kiserikali linalojishughulisha na mazingira, haki za binadamu na jinsia (Envirocare).
Mkurugenzi wa Envirocare, Loyce Lema, alisema ripoti hiyo imependekeza Mahakama zinazohamishika, kutokana na mlundikano wa mahabusi, wengi wakiwa wana kesi ndogondogo.
“Katika magereza 16 na mahabusi za watoto nne, tumegundua wengi wako huko kwa kuwa hawana uelewa wa sheria, wana kesi ndogo ndogo hawastahili kuwapo humo,” alisema.
Mratibu wa mradi huo, ambaye pia ni Naibu Mkurugenzi wa Envirocare, Catherine Jerome, alisema ulianza Septemba, mwaka jana, walitembelea magereza katika mikoa ya Arusha, Dar es Salaam, Morogoro, Tanga na Kilimanjaro.
Alisema lengo la mradi ni kuishauri serikali namna bora ya kupunguza mlundikano wa mahabusi mojawapo ikiwa ni kuwa na wasaidizi wa masuala ya kisheria watakaowaelekeza mahabusi jinsi ya kupata dhamana na haki nyinginezo.
Jerome alisema wametoa mafunzo kwa wasaidizi wa kisheria 88, wawili wenye cheti cha sheria kutoka miongoni mwa maafisa wa gereza na wawili kutoka kwenye jamii jirani na gereza.
Mwasilishaji wa ripoti hiyo kwa wanasheria, watendaji wa Jeshi la Polisi na Magereza katika mkutano wa pamoja kuijadili uliofanyika jijini Dar es Salaam, ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Issai Seng’enge, alisema mahabusi 2,896 walihojiwa.
Alisema katika magereza saba kuna wafungwa na mahabusi wengi kuliko uwezo wa mahakama na wengi hawana uelewa wa masuala ya sheria kwani asilimia 69.42 wana elimu ya msingi na asilimia 84.37 wanatoka kwenye familia za kipato cha chini.
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Kennedy Gastorn, alisema kwa Tanzania Bara kuna magereza 122 zenye uwezo wa kubeba watu 29,400, lakini waliopo ni 32,000 na asilimia 51 ni wanasubiri hatima ya kesi zao.
CHANZO: NIPASHE
Chief Justice
Chief Justice, Mohamed Chande Othman
Chief Justice Mohamed Chande Othman has asked Tanzanians to ensure the independence of the judiciary is enshrined in the draft constitution now being debated.
According to Othman, doing so will enhance judiciary’s performance, fair trial, and hearing to consolidate human rights.
He was speaking in Dar es Salaam at weekend when launching a book titled Uhuru wa Mahakama (Independence of the Judiciary) written by Retired Chief Justice Barnabas Samatta.
The Chief Justice made it clear that without an independent judiciary, it would be difficult to ensure fair trials and dispensation of justice.
The book dwells on the independence of judiciary, human rights, democracy and rule of law, good governance, the position and the importance of the constitution.
Othman said the mistake made earlier by the government, was to consider the judiciary as one of its departments while the two organs were completely perform separate functions.
He said in line with independence, the judiciary needs to be adequately funded and equipped with human resources and better infrastructure so that it can offer fair trials and deliver justice.
Chief Justice Othman also proposed the use of Kiswahili in all levels of the judiciary saying if the author has managed to write the book in Kiswahili defying all the legal jargons and legal technical words, there was no reason why Kiswahili should not be used in Tanzania’s Judiciary.
“This book is relevant and useful material to be used in different colleges and schools of law in Universities,” he said.
For his part, Samatta said the aim of writing the book was part of his contribution to educate Tanzanians on human rights, democracy and rule of law, good governance, independence of the judiciary, the position and importance of the constitution.
“This book will help people understand the multiparty system better, and educate our leaders on the above mentioned issues.”
Earlier when reviewing the book, a veteran law lecturer, Professor Mgongo Fimbo of School of Law at the University of Dar es Salaam, described Samatta as an exemplary judge who showed high level of integrity, and was a true defender of justice and the marginalised and the poor, especially women.
“In this book the author hates corruption. He says corruption causes anger and hatred to the victims and takes away peace among people. When corruption is used to snatch or kill justice, the victims may decide to take action,” he said.
The launching ceremony was attended by various judges, retired judges, academicians, lawyers, advocates, and leaders of political parties, media and other stakeholders from different public and private institutions
Chief Justice Mohamed Chande Othman has asked Tanzanians to ensure the independence of the judiciary is enshrined in the draft constitution now being debated.
According to Othman, doing so will enhance judiciary’s performance, fair trial, and hearing to consolidate human rights.
He was speaking in Dar es Salaam at weekend when launching a book titled Uhuru wa Mahakama (Independence of the Judiciary) written by Retired Chief Justice Barnabas Samatta.
The Chief Justice made it clear that without an independent judiciary, it would be difficult to ensure fair trials and dispensation of justice.
The book dwells on the independence of judiciary, human rights, democracy and rule of law, good governance, the position and the importance of the constitution.
Othman said the mistake made earlier by the government, was to consider the judiciary as one of its departments while the two organs were completely perform separate functions.
He said in line with independence, the judiciary needs to be adequately funded and equipped with human resources and better infrastructure so that it can offer fair trials and deliver justice.
Chief Justice Othman also proposed the use of Kiswahili in all levels of the judiciary saying if the author has managed to write the book in Kiswahili defying all the legal jargons and legal technical words, there was no reason why Kiswahili should not be used in Tanzania’s Judiciary.
“This book is relevant and useful material to be used in different colleges and schools of law in Universities,” he said.
For his part, Samatta said the aim of writing the book was part of his contribution to educate Tanzanians on human rights, democracy and rule of law, good governance, independence of the judiciary, the position and importance of the constitution.
“This book will help people understand the multiparty system better, and educate our leaders on the above mentioned issues.”
Earlier when reviewing the book, a veteran law lecturer, Professor Mgongo Fimbo of School of Law at the University of Dar es Salaam, described Samatta as an exemplary judge who showed high level of integrity, and was a true defender of justice and the marginalised and the poor, especially women.
“In this book the author hates corruption. He says corruption causes anger and hatred to the victims and takes away peace among people. When corruption is used to snatch or kill justice, the victims may decide to take action,” he said.
The launching ceremony was attended by various judges, retired judges, academicians, lawyers, advocates, and leaders of political parties, media and other stakeholders from different public and private institutions
Lecturer Job Vacancy
Lecturer Job Vacancy in Tanzania at Law School of Tanzania
Job Title: Lecturer (2 POSTS)
Employer: Law School of Tanzania
Duty Station: Dar es Salaam
Application Deadline: 25th July 2013
Duties and Responsibilities:
• Teaching up to NTA level 8 for a Master’s Degree holders and up to NTA level 9 for PhD holders;
• Guides and supervises students in building up their practical and research projects;
• Prepare learning resources and design training exercises for students;
• Conduct consultancy and community services;
• Develop and review existing curriculum;
• Undertake individual research and participates in scientific/academic
congregations;
• Prepares teaching manuals, simulations and case studies for training;
• Coaches junior teaching staff; and
• Performs any other duties assigned by supervisor.
Qualifications and Experience
• Doctorate Degree in Law who is eligible for registration as a technical teacher. Or
• Master’s Degree in Law, who has a proven applicable working experience preferably in research/ consultancy of at least ten years in the industry and have published at least five consultancy/research reports of the academic and professional appreciable depth in the relevant field.
AND
• Must be an Advocate of the High Court of Tanzania, or a person who has served as a Judicial Officer, State Attorney or Legal Officer for at least five years.
Reporting:
Head, legal practical training
Remuneration
Attractive remuneration package in accordance with the Institution’s salary PHTS 10.
How to Apply:
Send Applications to:
Secretary
Public Service Recruitment
Secretariat,
P. O. Box 63100 S. L. P 63100,
DAR ES SALAAM.
Job Title: Lecturer (2 POSTS)
Employer: Law School of Tanzania
Duty Station: Dar es Salaam
Application Deadline: 25th July 2013
Duties and Responsibilities:
• Teaching up to NTA level 8 for a Master’s Degree holders and up to NTA level 9 for PhD holders;
• Guides and supervises students in building up their practical and research projects;
• Prepare learning resources and design training exercises for students;
• Conduct consultancy and community services;
• Develop and review existing curriculum;
• Undertake individual research and participates in scientific/academic
congregations;
• Prepares teaching manuals, simulations and case studies for training;
• Coaches junior teaching staff; and
• Performs any other duties assigned by supervisor.
Qualifications and Experience
• Doctorate Degree in Law who is eligible for registration as a technical teacher. Or
• Master’s Degree in Law, who has a proven applicable working experience preferably in research/ consultancy of at least ten years in the industry and have published at least five consultancy/research reports of the academic and professional appreciable depth in the relevant field.
AND
• Must be an Advocate of the High Court of Tanzania, or a person who has served as a Judicial Officer, State Attorney or Legal Officer for at least five years.
Reporting:
Head, legal practical training
Remuneration
Attractive remuneration package in accordance with the Institution’s salary PHTS 10.
How to Apply:
Send Applications to:
Secretary
Public Service Recruitment
Secretariat,
P. O. Box 63100 S. L. P 63100,
DAR ES SALAAM.
Tuesday, July 16, 2013
Man Killed by Train is Sued: Flying Body Parts Injured Woman
By Andrew Chow, Esq. on December 30, 2011 6:01 AM
An Illinois woman is suing the estate of a man killed by a train, claiming the man's flying body parts hit her and caused injuries.
A state appeals court cleared the way for Gayane Zokhrabov's flying body parts lawsuit to proceed -- though it also called the case "tragically bizarre," the Chicago Tribune reports.
The case stems from a horrific accident in 2008, when a train traveling more than 70 mph struck and killed an 18-year-old man who was running across the tracks. The victim did not know the approaching train was a high-speed train, his mother maintains.
The impact flung the man's body about 100 feet, and flying body parts knocked Zokhrabov, then 58, to the ground. She hurt her shoulder, and broke her leg and wrist.
Zokhrabov sued the estate of the deceased victim, Hiroyuki Joho. A lower court dismissed the suit, finding Joho could not have anticipated the woman's injuries, according to the Tribune.
But an Illinois appeals court disagreed, and said "it was reasonably foreseeable" that a train accident could send Joho's flying body parts into crowds of waiting passengers.
Whether an injury is "reasonably foreseeable" is a major factor in cases alleging negligence. A victim's injury must also have been caused by another party's breach of duty to the victim, through action or inaction. And the victim must have been in a "zone of danger."
In this case, Zokhrabov must show that Joho breached his duty -- perhaps by running across the train tracks. She will also have to show that Joho's breach caused her injuries. That's where her "flying body parts" theory comes into play.
Zokhrabov's lawyer laid out her legal strategy to the Tribune: "If you do something as stupid as this guy did, you have to be responsible for what comes from it," she said.
This may not be the last appeal for Zokhrabov's flying body parts lawsuit. An attorney for Joho's mother says he plans to take the case to the Illinois Supreme Court.
By Andrew Chow, Esq. on December 30, 2011 6:01 AM
An Illinois woman is suing the estate of a man killed by a train, claiming the man's flying body parts hit her and caused injuries.
A state appeals court cleared the way for Gayane Zokhrabov's flying body parts lawsuit to proceed -- though it also called the case "tragically bizarre," the Chicago Tribune reports.
The case stems from a horrific accident in 2008, when a train traveling more than 70 mph struck and killed an 18-year-old man who was running across the tracks. The victim did not know the approaching train was a high-speed train, his mother maintains.
The impact flung the man's body about 100 feet, and flying body parts knocked Zokhrabov, then 58, to the ground. She hurt her shoulder, and broke her leg and wrist.
Zokhrabov sued the estate of the deceased victim, Hiroyuki Joho. A lower court dismissed the suit, finding Joho could not have anticipated the woman's injuries, according to the Tribune.
But an Illinois appeals court disagreed, and said "it was reasonably foreseeable" that a train accident could send Joho's flying body parts into crowds of waiting passengers.
Whether an injury is "reasonably foreseeable" is a major factor in cases alleging negligence. A victim's injury must also have been caused by another party's breach of duty to the victim, through action or inaction. And the victim must have been in a "zone of danger."
In this case, Zokhrabov must show that Joho breached his duty -- perhaps by running across the train tracks. She will also have to show that Joho's breach caused her injuries. That's where her "flying body parts" theory comes into play.
Zokhrabov's lawyer laid out her legal strategy to the Tribune: "If you do something as stupid as this guy did, you have to be responsible for what comes from it," she said.
This may not be the last appeal for Zokhrabov's flying body parts lawsuit. An attorney for Joho's mother says he plans to take the case to the Illinois Supreme Court.
Friday, July 12, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)